Utangulizi. Makanisa Mapya ya Pentekoste Mijini Mikuu - Mifano

Size: px
Start display at page:

Download "Utangulizi. Makanisa Mapya ya Pentekoste Mijini Mikuu - Mifano"

Transcription

1 Ukuzaji wa Viongozi Vijana katika Makanisa Mapya ya Kipentekoste Mijini Mikuu : Mifano Mitatu kutoka Nairobi, Kenya. Muhtasari wa Utafiti wa Shahada ya Uzamifu Kyama Mugambi Utangulizi Tukiangalia maendeleo ya hivi karibuni ya makanisa hapa Afrika, swali huibuka jinsi makanisa mapya ya Kipentekoste nchini Kenya yatastawi katika siku zijazo, na kuendelea kuimarika na kushamiri baada ya waanzilishi. Baadhi ya majibu ya swali hili yamo katika uongozi. Hadithi ifuatayo inaeleza hali ya sasa katika makanisa mengi Kipentekoste ( Newer Pentecostal Charismatic churches, NPCC) barani Afrika. Gabriel Oladele Olutola aliteuliwa kuwa kiongozi wa Apostolic Church Lagos, Magharibi na maeneo ya Kaskazini (TAC) mwaka Kiongozi kabla yake alikuwa kiongozi mwanzilishi Eyo Edet Okon aliyeaga dunia akiwa na umri wa 96. Olutola, kiongozi wa kizazi kipya, aliuchukua uongozi akiwa na umri wa miaka 76. Je, hakupatikana kiongozi kijana zaidi kuweza kuendeleza dhehebu hili kwenye karne hii? Msomi mmoja, alisema hivi, 2 Waafrika ni wachanga. Mbona viongozi wao ni wazee hivi? 3 Hii ndio habari iliyokithiri kwa njia tofauti katika makanisa mengi ya kila aina ya kipentecoste barani Afrika (NPCC). Makanisa mengi yaongozwa na viongozi waasisi ambao ni wa umri wa juu zaidi. Hili swala la uzalishaji wa viongozi vijana ndiyo pingamizi kuu katika ustawi wa baadaye wa makanisa ya kipentecoste Afrika. Inaonekana pingamizi hili laweza kuathiri mustakabali wao. Utafiti uliofanywa na taasisi iitwayo mtandao wa uongozi (leadership network) iligundua kuwa zaidi ya 90% ya wachungaji wa makanisa makubwa zaidi Afrika, hasa ya kipentekoste, walikuwa wachungaji waanzilishi. Kwa pamoja, umri wao wa wastani ulikuwa miaka 57, mara tatu umri wa wastani wa idadi ya waafrika kwa jumla. 4 Utafiti wa uongozi utokao kwa wasomi kama vile Ram Charan, Jim Collins, Bernard M. Bass na Warren Bird, unaonyesha kwamba mashirika yanayostawi na kushamiri, ambayo yanadumu waasisi wao wakishastaafu, hukuza mazingira ambayo husisimua uzalishaji wa viongozi vijana. 5 Utafiti huu wetu ulichagua makanisa ya kipentekoste yaliyostawi, yaliyoshamiri hata baada ya viongozi waanzilishi kuondoka mamlakani. Lengo letu lilikuwa ni kujua jinsi mazingira ya makanisa haya yalisaidia uzalishaji wa viongozi vijana. Makanisa Mapya ya Pentekoste Mijini Mikuu - Mifano Katika utafiti huu tulipata mifano mitatu ya makanisa ya kipentekoste (NPCC). Mifano au kesiutafiti hize tatu ni sehemu ndogo ya NPCC ziliyomo mijini mikuu, zinazojulikana kama Progressive Pentecostal Churches (PPC). Kwa mujibu wa Tetsunao Yamamori na Donald Miller, PPC ni wakristo wanaodai kuongozwa kwa Roho Mtakatifu na maisha ya Yesu. 1 SAU The Chancellor, accessed July 21, 2016, 2 David E. Kiwuwa, Africa Is Young. Why Are Its Leaders so Old?, CNN, accessed July 21, 2016, 3 Ibid. 4 Global Megachurches by Leadership Network s Warren Bird PUBLIC, Google Docs, accessed March 20, 2016, hl=en_us&usp=embed_facebook. 5 Jim Collins and Jerry I. Porras, Built to Last: Successful Habits of Visionary Companies, 3 edition (New York, NY: HarperBusiness, 1994); Ram Charan, Stephen Drotter, and James Noel, The Leadership Pipeline: How to Build the Leadership Powered Company, 2 edition (Jossey-Bass, 2010); William J. Rothwell, Effective Succession Planning: Ensuring Leadership Continuity and Building Talent from Within, 5 edition (AMACOM, 2015); William Vanderbloemen, Warren Bird, and John Ortberg, Next: Pastoral Succession That Works (Grand Rapids, Michigan: Baker Books, 2014).

2 Wanaamini ukristo wao, si wa kujitenga, bali unajumuisha na kukabiliana na mambo ya kiroho, kimwili, kijamii na mahitaji ya watu katika jamii zao. 6 Mifano hii ya PPCs ilichaguliwa kati ya makanisa 12 Nairobi. PPC za utafiti huu zilitakiwa kuwa na umri zaidi ya miaka 30, kuwa na dalili za msisimko na ushamiri baada ya waasisi. Mifano yetu ni - International Christian Centre, ICC, kanisa la Kenya Assemblies of God KAG, ambayo ilianza mwaka 1984 na wamisionari Del Kingsriter na Bob Schmidgall Christ is the Answer Ministries, CITAM, kanisa lililoanzishwa na Pentecostal Assemblies of Canada, PAOC. CITAM ilizinduliwa mwaka 1952 na mmisionari John McBride. Nairobi Chapel, kanisa lisilo la madhehebu lililokuwa na uhusiano mdogo na Brethren, iliyoanza mwaka wa 1952 na wakazi wa Nairobi wenye asili ya Uingereza. Makanisa haya yamenawiri, yamezalisha viongozi wengi vijana, na yameanzisha makanisa mengine mengi. Makanisa haya yanaongozwa na viongozi wa kiasili wa kizazi kipya baada ya waasisi wao. Makanisa haya yanaonekana kwenda kinyume na hali ya jumla inayoonekana katika NPCC nyingi, kama ilivyoelezwa katika hadithi fupi ya TAC hapo juu. Maswali na Mbinu za Utafiti Swali kuu la utafiti wetu lilikuwa - Ni jinsi gani PPC zilizoshamiri na kustawi hivi karibuni, huendeleza viongozi wao? Ni mambo gani muhimu katika mazingira yao yanazalisha viongozi vijana? Kuna maswali kadhaa yanayohusika na swali hili kuu - Ni mbinu gani ya uchunguzi itawezesha utafiti huu? Je ni fasihi zipi zilizopo kwenye uandishi wa kikristo na kwenye elimu ya uongozi zinazohusika na swali letu kuu? Je ni matokeo gani yanatokana na - historia, tamaduni za mashirika, mazoea rasmi ya mashirika, shughuli rasmi, mafundisho na uzoefu wa viongozi waandamizi - yanayotumikia kudhihirisha ukuzaji wa viongozi vijana katika mifano hii ya PPCs? Ni nini kati ya matokeo ya utafiti huu kitayasaidia makanisa na mashirika mbali mbali barani Afrika na kuingineko? Tulitambua mbinu ya kesi-utafiti (maarufu mbinu ya kutumia mifano, Case Studies) kama mbinu ya uchonguzi inayofaa zaidi kwa ajili ya utafiti. Mbinu hii inawezesha mtafiti kuchunguza kila mmoja ya mifano au kesi-utafiti ili kuelewa inavyochangia kwenye swali kuu la utafiti. Uchunguzi huu ulishirikisha mahojiano 28 ya kina, na viongozi waandamizi dodoso linalo elezea shirika utafiti wa nyaraka kutoka miaka 90 iliyopita, pamoja na hadithi na nyaraka kutoka Chuo Kikuu cha California Kusini, na Pentecostal Assemblies of Canada. Uchunguzi wa maandishi ya kanisa kama vile katiba, katekisimu, na mahubiri uchunguzi usio na taratibu maalum Matokeo ya Utafiti Matokeo muhimu kuhusiana na maswali ya utafiti yameorodheshwa hapa. Kuhusu ukaguzi wa fasihi husika: Utafiti huu ulituelekeza kwenye natharia ya misisimko ya makanisa ya kiinjili (yaani Evangelical Revitalization Movement theory ERM). Nadharia hii ilitoa mfumo muhimu wa kuelekeza tafakari juu ya swali kuu la utafiti huu. Maandiko 6 Donald E. Miller and Tetsunao Yamamori, Global Pentecostalism: The New Face of Christian Social Engagement, First Edition, Includes DVD edition (Berkeley: University of California Press, 2007), 2,212.

3 yalionyesha umuhimu wa kudhamiria ukuzi wa viongozi vijana ili kudumisha makanisa. 7 Natharia ya uongozi ubadilishi (yaani Transformational leadership) ni dhana muhimu ya kutunga mijadala ya ukuzi wa viongozi vijana. 8 Kutokana na nadharia hii, tulipata dodoso ya kueleza uongozi katika mashirika (Organizational Description Questionnaire ODQ) kama chombo muhimu cha kuongezea maarifa pamoja na taarifa zingine zilizokusanywa kutoka kesi-utafiti, yaani mifano yetu. 9 Kuhusi misisimko ya makanisa ya kiinjili: PPCs zaweza kufahamika kihistoria kulingana na nadharia ERM. Makanisa haya yameshamiri kupitia juhudi za viongozi vijana. Viongozi hawa walikusaya waumini wao kusikiliza habari njema, injili, iliowasilishwa upya, pamoja na mbinu mpya za kipekee. Ujumbe huu uliwafaa wasikilizaji kihistoria, kitamaduni na kijamii. 10 Nadharia ya ERM inaorodhesha hatua au awamu tatu za kihistoria kwenye ustawishaji wa PPC. Hatua hizo ni awamu ya tatizo kwenye mazingira, awamu ya kubuni mbinu mpya kutatua tatizo, awamu ya kusambaza uongozi kwa kizazi kipya. Kuhusi tamaduni za uongozi: Ili kuchunguza historia ya uongozi kwenye mashirika, tuliangazia dhana za uongozi ubadilishi kama zilivyobuniwa na Bernard M. Bass. 11 Dhana hizi zilichangia njia za kuelezea mazingira ya uongozi katika PPCs. Kupitia dodoso ya kueleza uongozi katika mashirika ODQ, tulibaini kuwa licha ya historia zao mbalimbali, kulikuwa na usawa katika mbinu za uongozi kwenye kesi-utafiti hizi za PPCs. Kila PPC ilikuwa na tamaduni za uongozi ambapo viongozi walikuwa na - ushawishi ulioheshimiwa washirika na viongozi vijana waliwafuata viongozi waasisi kwa sababu ya haiba na ushawishi wao motisha inayo hamasisha - viongozi wakuu waliwasilisha maono yaliyohamasisha wafuasi msisimko wa kimawazo viongozi waasisi waliwapa viongozi vijana changamoto kimawazo na kielimu ili kuwahamasisha kufanya zaidi ya kile wao walidhani wanaweza uhusiano wa karibu - viongozi waasisi waliwekeza muda ili kujenga uhusiano na viongozi vijana kwa lengo la kuendeleza uongozi wao. Vidokezo muhimu vilivyo ibuka kwenye Utafiti huu ya Maendeleo ya Uongozi Tulichunguza zaidi utafiti huu ili kuelewa mambo ya kipekee ya mazingira ya mifano hii ya PPC. Tuligundua kwamba PPC hizi, kila mmoja kwa njia yake ya kipekee, na kwenye historia yake, ilionyesha mchanganyiko wa sababu tatu uongozi uliokuwa na uhusiano, miundo ya utawala iliyosaidia kukuza viongozi, na maono yaliyohamasisha kanisa. Kupitia viongozi wao kwa njia mbali mbali, na kwa viwango tofauti kila mmoja ya makanisa haya yalifanya ifuatavyo - 1. Makanisa yaliimarisha uhusiano na mwingiliano kati ya viongozi. Uhusiano huu uliimarishwa kati ya viongozi waandamizi na viongozi vijana kwa njia ya urafiki, mafundisho na ushauri. Tuliona dalili za falsafa ya uongozi ambayo inashirikisha uhusiano wa karibu kama sehemu muhimu ya kukuza viongozi vijana. 2. Makanisa haya yalikua na miundo ya utawala ilioboresha ukuzaji wa viongozi vijana. Makanisa yalikua na miundo ilioshauri, na hata kukuza viongozi vijana. Miundo hii ilipatikana katika Katiba pamoja na kupachikwa kwenye tamaduni makanisa yalipokua yakistawi. Baadhi ya miundo hii ilitokana na uhusiano wa kihistoria na mamisionari. Miundo mingine iliibuka ndani ya makanisa haya baada ya waasisi kuondoka au kustaafu. Miundo na tamaduni ziliwashirikisha waumini pamoja na watumishi wa kanisa. 7 Collins and Porras, Built to Last; Charan, Drotter, and Noel, The Leadership Pipeline. 8 Ronald E. Riggio and Bernard M. Bass, Transformational Leadership, Kindle Edition (Psychology Press, 2006). 9 Organizational Description Questionnaire (ODQ) - Mind Garden, accessed September 1, 2015, 10 Mark Shaw, From Monument to Movement (Nairobi: Unpublished, 2016). 11 Bernard M. Bass, A New Paradigm for Leadership: An Inquiry into Transformational Leadership. (DTIC Document, 1996).

4 3. Maono yenye ushawishi mkuu yalielezwa kwa ufasaha kwa washirika. Maono haya yaliwasilishwa kwa mahubiri, maandishi ya katikisimo na mafunzo. Maono yaliwaunganisha washirika kwa lengo moja. Pia, ushawishi wa maono haya uliwavitia viongozi wapya. Umuhimu wa Matokeo 1. Utafiti uligundua kuwa PPCs zilisisitiza, kwa viwango tofauti, uhusiano kati ya vizazi vya viongozi, maono ya makanisa, na miundo ya utawala. Uhusiano, maono na miundo, yote ni mambo yaliyochangia kwa pamoja kustawisha makanisa haya na ambayo yaliwavutia viongozi washirika na watumishi wa kanisa. 2. Tulipochunguza fasihi iliibuka kuwa, dhamira ya viongozi waandamizi ni sababu muhimu katika ukuzaji wa viongozi vijana kwenye PPC. 3. Kukutana kibinafsi, na ustawishaji wa uhusiano kati ya viongozi wa zamani na vijana kuliwamakinisha viongozi vijana mapema katika maisha yao ya uongozi. Hii ilibainika kama muhimu ili kukuza vizazi vya viongozi baada waanzilishi. 4. Uongozi ubadilishi ni nadhari iliyoashiria dhana muhimu za uongozi ulio mahiri na ulio na utendaji wa hali ya juu. Nadharia hii iliashiria kwamba kiwango mwafaka cha miundo ya utawala kinahitaji kuhifadhiwa ili kanisa liweze kunawiri. Utafiti huu inaonyesha kuwa PPC hizi ziliweza kuweka miundo utawala kama ilivyoashiriwa na nadhari ya uongozi ubadilishi. Makanisa haya yalifanikiwa katika kazi zao, bila kupoteza dhamira na teolojia zao za Kipentekoste. Hii anakubaliana na utafiti wa Margaret Poloma wa madhehebu ya kipentekoste nchini US Utafiti wa Wanjiru Gitau ulivumbua kwamba nadhari ya ERM ni muhimu kuelekeza utafiti na mijadala juu ya makanisa makubwa zaidi (yaani megachurches). 13 Utafiti huu unathibitisha matokeo ya Gitau. Nadharia ya ERM hutoa dhana za kuweza kujadili historia na asili za PPC. Pia nadhari hii inaelekeza mitazamo ya kitheolojia kuhusu utamadunisho na uzawa katika PPC. 6. Utafiti huu yalionyesha haja ya utafiti wa kuelewa uongozi katika PPC hasa, na NPCC kwa ujumla. Zaidi ya hayo, utafiti wa uongozi katika makanisa yaliyofanikiwa unaweza kuangazia mbinu bora za uongozi. Mbinu za utafiti zinazodhamiria kuelewa historia, visa na maana (yani qualitative methodologies) zilifaa utafiti huu. Mbinu ya kesi-tafiti ni mojawapo ya mibinu hizi. 7. Dhana ya Andrew Walls ya kanuni ya utafsiri (yaani translation principle), pamoja na mvutano kati ya kanuni ya nyumbani (homing principle) na kanuni ya hija (pilgrim principle) zimesaidia kueleza ukuaji wa Ukristo duniani kote. 14 Kanuni ya hija inaeleza mitazamo ya hatima ya hapo mbeleni ya jamii ya kikristo. Kanuni ya nyumbani inaeleza umuhimu wa kufanikisha imani maishani mwa wakristo sasa. Katika utafiti tunaona mvutano kati ya kanuni hizi ni dhahiri katika maendeleo ya kihistoria ya PPCs. Manufaa ya Utafiti Huu kwa Kanisa katika Afrika Matokeo ya utafiti huu na uchambuzi yalizaa masomo yafuatayo kwa ajili ya kanisa, hasa katika NPCC. 1. Utafiti huu unaonyesha kuwa ukuzaji wa viongozi vijana ni mchakato jumuishi. Unajumuisha mambo mbali mbali. Kuna haja ya NPCC kuchukua mtazamo huu wa jumla wa ukuzaji wa viongozi vijana. 2. Uongozi asili unaenda sambamba na ukuaji wa kanisa. Hii ilikuwa ni kweli katika PPC hizi, hasa zilizoaanzishwa na wamisonari. Popote NPCC huanzisha makanisa nje ya tamaduni zao, ni 12 Margaret M. Poloma, Charisma and Structure in the Assemblies of God: Revisiting O Dea s Five Dilemmas, Church, Identity, and Change: Theology and Denominational Structures in Unsettled Times, 2005, Margaret Wanjiru Gitau, Focussing Scholarly Discourse on Megachurches: The Evangelical Revitalization Movement Theory in a Case Study of Mavuno Church (Ph.D., Africa International University, 2015). 14 Andrew F. Walls, The Cross-Cultural Process in Christian History : Studies in the Transmission and Appropriation of Faith (Maryknoll, NY: Orbis Books, 2002).

5 lazima kuzingatia ukuzaji wa uongozi asili. Lasivyo, kuna hatari kurudia mazoea ya wamisionari wa Magharibi wa hapo awali, ambapo hawakufaulu ifaavyo katika makanisa yao barani. 3. PPC, kama makanisa pentekoste, hutegemea sana haiba ya waasisi kwenye miundo ya utawala, hasa kwenye jamii stahi zaidi mamlaka. Hii ni kweli katika jamii na tamaduni zinazo patikana barani, kama Kenya. Hii pia inaweza kusababisha matumizi mabaya ya madaraka. Makanisa yaweza kutengeneza miundo ya kutosha kudhibiti na kupunguza tatizo hili. Mojawapo ya miundo hii kwenye PPC ni zoezi la kuthibiti mda wa uongozi wa viongozi waandamizi. Makanisa ya utafiti huu yalibuni na kustawisha zoezi hili kwenye tamaduni zao za uongozi. 4. Ukuzaji wa viongozi vijana huanza mapema. Viongozi waliohudumu mda mrefu zaidi katika PPC wote walianza mafunzo yao kabla au wakati wa shahada ya kwanza. Kuingia kwao katika uongozi wa kanisa ulitokana na kujitolea kwao kama vijana. 5. Ukuzaji wa viongozi vijana unachukua mda mrefu. Viongozi waandamizi walianza wakuwa wanafunzi. Kisha wakapokea mafunzo na tajiriba ya miongo kadhaa ili kufikia uzoefu walioko nao. PPCs zinazotaka kukuza viongozi vijana wa utendaji wa hali ya juu zinapaswa kuchukua mtazamo huu wa mda mrefu. Miundo rasmi pamoja na ile isio rasmi ya makanisa inafaa kuzingatia wakati unaohitajuka kukuza viongozi. 6. Mafunzo ya kiteologia huandamana na tamaduni za uongozi ubadilishi ili kukuza viongozi vijana wenye kufahamu ya mafundisho ya imani, na pia ujuzi wa uongozi. PPC au NPCC ambazo zinataka kuendeleza uongozi bora kwa sasa na hapo baadaye zinapaswa kukuza viongozi wanaoweza kuongoza makanisa kwa wema wa tabia zao, ujuzi wao wa mambo ya imani, na uwezo wao kuongoza jamii. 7. NPCC zinahitaji kuandika historia zao wenyewe, na kujenga nyaraka za hati zao. Hii itawasaidia viongozi wajao kujifunza kutokana na historia. Utunzi wa nyaraka za kihistoria utakuza elimu na maamuzi ya viongozi wa kesho. 8. Utafiti huu uliibua sifa na utendaji wa viongozi waasisi walioanzisha makanisa ya kudumu. Baadhi ya sifa hizo zagusia mwito wa kiongozi, uhusiano wao na wafuasi wao, na kujitolea kwao kuwasilisha maono. Maeneo ya Utafiti zaidi Maeneo mbalimbali yaliojitokeza nje ya utafiti huu ambayo yanahitaji uchunguzi zaidi huhusu makanisa mapya ya kipentekoste mijini ya Afrika. Huu ni muhtasari wa baadhi ya maeneo haya kwa ajili ya utafiti wa baadaye. (A) Mafunzo ya Kiteolojia ni muhimu sana katika ukuzaji wa viongozi wa kanisa. Utafiti wa kina kuhusu masomo ya shule za Kiteolojia, pamoja na masomo ya uongozi katika mitaala yao ni muhimu, lakini hayakuangaziwa kwenye utafiti huu. Elimu ya kidini, mtazamo wake, madhara yake katika viongozi, na maendeleo yake baada ya muda ni maeneo muhimu ya utafiti. 15 Zaidi ya hayo tunahitaji utafiti ili kuelewa michakato rasmi ya ukuzaji wa viongozi kwenye seminari na tarajali za kanisa. Utafiti huo utasaidia watafiti kuelewa manufaa ya taratibu hizi katika muktadha wa makanisa ya kipentekoste barani Afrika. (B) Makanisa mengi yaliyoshamiri Afrika yanadaiwa kutokana na juhudi za makanisa na viongozi wa hapo awali. 16 Athari za uamsho wa Africa Mashariki dhidi ya makanisa rasmi na dhidi ya wakristo wa kipentekoste ni makubwa. Zaidi ya hayo, viongozi wengi wa makanisa ya kipentekoste walipata mafunzo ya uongozi kwenye misisimko ya kikristo ndani ya taasisi za elimu ya elimu ya juu katika miaka ya Uamsho wa Afrika Mashariki uliathiri misisimko hii kwa njia nyingi. Mikutano ya kiinjilisti ya miaka ya 1980 ilileta idadi ya ajabu ya washiriki 15 Mtafiti huyu aliangazia baadhi ya maswali haya kwenye utafiti mmoja uliochapishwa kwenye jarida moja. Kyama Mugambi, Perceptions and Recommendations for Theological Education for Church Planters in Kenya: A Case Study of Mavuno Church, Impact Journal, September Philomena Njeri Mwaura, Practices for Sustaining Revitalization in Local Communities: Perspectives from Africa, in Interpretive Trends in Christian Revitalization for the Early Twenty First Century, ed. J. Steven O Malley (Lexington, KY: Emeth Press, 2011),

6 wakristo katika mikutano kubwa ya kufana iliyodhaminiwa na wamisionari wa nchi za nje. 18 Misimu hii ya kihistoria ilitengeneza mazingira ambapo PPC zilijitokeza. Utafiti wa kina wa mazingira haya unahitajika. Utafiti kama huu utaongeza maarifa kuhusu PPC zilizoangaziwa hapa. Pia utafiti huo utatuelimisha zaidi kuhusu makanisa ya kipentekoste. (C) Utafiti huu ulilenga ukuzaji wa viongozi zamani na sasa. Utafiti wa kihistoria unaolinganisha uongozi katika madhehebu mbalimbali utafunua ufahamu juu ya kufanana na tofauti kati ya PPCs, na makanisa mengine kutoka jamii pana ya NPCC. Utafiti kama huo waweza kupanuliwa ili kujumuisha makanisa rasmi ya kale. (D) Utafiti haukuona theolojia ya uongozi iliyoelezwa kwa ufasaha katika yoyote ya makanisa. Lakini, ukweli ni kwamba ingawa makanisa hayajaandika theolojia ya uongozi haimaanishi theolojia hii haipo. Uchunguzi wa kina zaidi waweza kuibua dhana za theolojia ya uongozi ndani ya mafundisho ya makanisa haya. (E) Utafiti huu ulilenga viongozi wa sasa au viongozi ambao waliostaafu hivi karibuni. Eneo moja ya utafiti itakuwa utafiti wa kina wa viongozi waliostaafu hapo awali au wale waliotamatisha utumishi zamani. (F) Utafiti huu haukufanya utafiti upimaji (quantitative methodology) juu kwenye washiriki wa makanisa haya. Utafiti upimaji wa hapo baadaye kwenye washiriki unaweza kutoa ufahamu muhimu kuhusu tamaduni za uongozi wa PPC kama zinavyo eleweka na washiriki. (G) Mradi huu wa utafiti uliangazia viongozi waandamizi wa kanisa wanaowajibika kwa maisha na sera za kanisa zima. Kuna haja ya kufanya utafiti unaodhamiria kuelewa historia, visa na maana (yani qualitative methodologies) inayoangazia mazingira ya uongozi katika PPC kwa mujibu wa viongozi wa ngazi za chini. (H) Motisha ya viongozi inaashiria jinsi uongozi wao utakavyostawi. Kuna haja ya utafiti unaohitaji mbinu tofauti ili kuchunguza kwa kina motisha za kibinafsi za viongozi. Utafiti kama huu wa baadaye utatoa mtazamo tofauti ambao ni nadra kuhusi wachungaji wa kipentekoste. Uchunguzi kama huu utaweza kueleza jinsi uongozi wa kujitolea kwa washirika unaandamana na uongozi wa watumishi waajiriwa wa kanisa. Hitimisho Kwenye uchambuzi wetu wa utafiti wa PPC tuligundua kwamba makanisa huhakikisha mustakabali wao kwa kukuza tamaduni za uongozi ubadilishi zinazosisimua ukuzaji wa viongozi vijana. Makanisa haya hufanya hivyo kwa kuunganisha uhusiano mwema baina ya vizazi vya viongozi, pia kwa kujenga miundo mwafaka ya uongozi na kwa kuwasilisha maono yenye ushawishi. Matokeo haya yanaashiria baadhi ya njia ambazo NPCC zaweza kuhakikisha mustakabali wao kupitia mipango madhubuti ya kukuza viongozi vijana. Kyama Mugambi Kituo cha Ukristo Dunia Chuo kikuu cha kimataifa cha Afrika 17 J. Kwabena Asamoah-Gyadu, Born of Water and Spirit : Pentecostal/Charismatic Christianity in Africa, in African Christianity: An African Story, ed. Ogbu Kalu (Pretoria: University of Pretoria, 2005), Mwaura, Practices for Sustaining Revitalization in Local Communities: Perspectives from Africa.

SPECIAL BILL SUPPLEMENT

SPECIAL BILL SUPPLEMENT THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA SPECIAL BILL SUPPLEMENT ISSN O856 01001 No. 7 19 st October, 2017 to the Special Gazette of the United Republic of Tanzania No.7 Vol. 98 dated 19 st October, 2017 Printed

More information

SzW(K) R5: Security, Radicalization and Other General Issues

SzW(K) R5: Security, Radicalization and Other General Issues SzW(K) R5: Security, Radicalization and Other General Issues INTERVIEWER: Verify demographic information as it appears on the database: Name Age Gender Village [Enumeration Area] Have you managed to reach

More information

Mkakati wa Vyama vya Wafanyakazi katika kupambana na Virusi vya Ugonjwa wa Ebola (VUE) OCTOBER 2014

Mkakati wa Vyama vya Wafanyakazi katika kupambana na Virusi vya Ugonjwa wa Ebola (VUE) OCTOBER 2014 Mkakati wa Vyama vya Wafanyakazi katika kupambana na Virusi vya Ugonjwa wa Ebola (VUE) 2014-2016 OCTOBER 2014 Utangulizi Mlipuko wa Virusi vya Ugonjwa wa EBOLA (VUE) katika nchi za Afrika ya Mashariki

More information

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA SPECIAL BILL SUPPLEMENT

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA SPECIAL BILL SUPPLEMENT THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA SPECIAL BILL SUPPLEMENT ISSN 0856-035X No. 1 12 th January, 2017 to the Special Gazette the United Republic Tanzania No.1 Vol.98 dated 12 th January, 2017 Printed by the

More information

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA

BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA FOMATI ZA MITIHANI YA UALIMU KWA NGAZI YA CHETI (DARAJA LA A) IMETOLEWA NA: BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA S.L.P. 2624 DAR ES SALAAM TANZANIA SEPTEMBA 2010 YALIYOMO UTANGULIZI...

More information

MTAZAMO WA. Misingi Jamii ya Kitaaluma katika Ustaarabu MALIK BENNABI BADRANE BENLAHCENE

MTAZAMO WA. Misingi Jamii ya Kitaaluma katika Ustaarabu MALIK BENNABI BADRANE BENLAHCENE BADRANE BENLAHCENE Misingi Jamii ya Kitaaluma katika Ustaarabu MTAZAMO WA MALIK BENNABI SWAHILI VERSION Idara ya Lugha na Ukalimani ya Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro ii Misingi Jamii ya Kitaaluma

More information

SPECIAL BILL SUPPLEMENT

SPECIAL BILL SUPPLEMENT ISSN 0856 01001X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA SPECIAL BILL SUPPLEMENT No. 2 28 th June, 2017 to the Special Gazette of the United Republic of Tanzania No. 4 Vol. 98 dated 28 th June, 2017 Printed by

More information

FOMATI YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (STANDARD FOUR NATIONAL ASSESSMENT FORMAT SFNA)

FOMATI YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (STANDARD FOUR NATIONAL ASSESSMENT FORMAT SFNA) BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA FOMATI YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (STANDARD FOUR NATIONAL ASSESSMENT FORMAT SFNA) IMETOLEWA NA: BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA S.L.P. 2624 DAR ES SALAAM TANZANIA

More information

8 Safaricom Sustainability Report 2012 Safaricom Sustainability Report

8 Safaricom Sustainability Report 2012 Safaricom Sustainability Report 2 8 Safaricom Sustainability Report 2012 Safaricom Sustainability Report 2012 9 Our sustainability vision Affordable and relevant products and services Financial inclusion Strong governance structure Ethics

More information

FOMATI YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI

FOMATI YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA FOMATI YA MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI IMETOLEWA NA: BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA S.L.P 2624 DAR ES SALAAM TANZANIA IMEREKEBISHWA: FEBRUARI, 2018 BARAZA LA MITIHANI

More information

LOCAL CLIMATE ACTION PLANS Mjini Kiuyu, Mkokotoni, and Nungwi

LOCAL CLIMATE ACTION PLANS Mjini Kiuyu, Mkokotoni, and Nungwi LOCAL CLIMATE ACTION PLANS Mjini Kiuyu, Mkokotoni, and Nungwi Project Report of Governance of Climate Change Adaptation in Zanzibar Executive Summary 1 2 May 2017 Local Climate Action Plans: Mjini Kiuyu,

More information

THE NATIONAL ASSEMBLY ORDER OF BUSINESS

THE NATIONAL ASSEMBLY ORDER OF BUSINESS Twelfth Parliament Morning Sitting Second Session (No. 14) (044) PRAYERS 1. Administration of Oath 2. Communication from the Chair 3. Messages 4. Petitions 5. Papers 6. Notices of Motion 7. Statements

More information

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT THE WHISTLEBLOWER AND WITNESS PROTECTION ACT, 2015 ARRANGEMENT OF SECTIONS

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT THE WHISTLEBLOWER AND WITNESS PROTECTION ACT, 2015 ARRANGEMENT OF SECTIONS ISSN 0856-035X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA BILL SUPPLEMENT No. 14 29 th May, 2015 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No. 22 Vol. 96 dated 29 th May, 2015 Printed by the Government Printer,

More information

YOUTH GROUPS TRAINED ON POLICY ADVOCACY

YOUTH GROUPS TRAINED ON POLICY ADVOCACY In partnership with East Africa Youth inclusion Programme (EAYIP) Enhancing Enabling Environment to Increase Youth Participation in Agribusiness YOUTH GROUPS TRAINED ON POLICY ADVOCACY 30 June 2018 Authors:

More information

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA. BILL SUPPLEMENT No. 7 7 th June, 2013

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA. BILL SUPPLEMENT No. 7 7 th June, 2013 THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA ISSN 0856-035X BILL SUPPLEMENT No. 7 7 th June, 2013 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No. 23 Vol. 94 dated 7 th June, 2013 Printed by the Government Printer,

More information

COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI

COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI July 23, 2014 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Wednesday, 23 rd July, 2014 The House met at the County Assembly Chambers, Malindi Town, 2.30 p.m. [The Deputy Speaker (Hon.

More information

Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level

Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level Cambridge International Examinations Cambridge Ordinary Level *5961380497* SWAHILI 3162/01 Paper 1 May/June 2017 Additional Materials: Answer Booklet/Paper READ THESE INSTRUCTIONS FIRST If you have been

More information

COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI

COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI October 28, 2014 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Tuesday, 28 th October, 2014 The House met at the Temporary Chambers at the defunct Malindi Municipal Council, Malindi Town,

More information

Sera ya Elimu na Mafunzo SERA YA ELIMU NA MAFUNZO

Sera ya Elimu na Mafunzo SERA YA ELIMU NA MAFUNZO SERA YA ELIMU NA MAFUNZO 2014 i ii Sera ya Elimu na Mafunzo YALIYOMO VIFUPISHO DIBAJI v vii SURA YA KWANZA 1 1.0. UTANGULIZI 1 1.1. Hali Ilivyo 8 SURA YA PILI 18 2.0. UMUHIMU WA SERA 18 2.1. Dira, Dhima

More information

Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kuushinda Umaskini Uliokithiri

Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kuushinda Umaskini Uliokithiri tarehe 17 mwezi wa 10, 2012 on 17th October, 2012 Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kuushinda Umaskini Uliokithiri World Day to Overcome Extreme Poverty ATD Dunia ya Nne ATD Fourth World in Tanzania

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report Of DISSEMINATION OF REPORT AND DRAFT BILL WAJIR EAST CONSTITUENCY HELD AT NOMADIC PRIMARY HEALTH CARE ON 2 9 TH OCTOBER 2002 DISSEMINATION

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 10 th May, 2017

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Wednesday, 10 th May, 2017 May 10, 2017 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Wednesday, 10 th May, 2017 The House met at the County Assembly Chambers, Malindi Town, 2.30 p.m. [The Speaker

More information

make the following proclamation to welcome his presence in the Assembly.

make the following proclamation to welcome his presence in the Assembly. EAST AFRICAN COMMUNITY IN THE EAST AFRICAN LEGISLATIVE ASSEMBLY (EALA) The Official Report of the Proceedings of the East African Legislative Assembly 15 TH SITTING - FOURTH MEETING: FIRST SESSION FOURTH

More information

SPECIAL BILL SUPPLEMENT

SPECIAL BILL SUPPLEMENT ISSN 0856-01001X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA No. 4E 16 th October, 2018 SPECIAL BILL SUPPLEMENT to the Gazette of the United Republic of Tanzania No.4E. Vol.99 dated 16 th October, 2018 Printed by

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report Of DISSEMINATION OF REPORT AND DRAFT BILL - MANDERA EAST CONSTITUENCY, HELD AT MANDERA COUNTY COUNCIL HALL ON 2 14 TH OCTOBER, 2002 DISSEMINATION

More information

SUMMARY OF MAJOR PLANS BEFORE 2019 SPECIAL GENERAL CONFERENCE Muhtasari wa mipango mikubwa kabla ya mkutano mkuu wa 2019

SUMMARY OF MAJOR PLANS BEFORE 2019 SPECIAL GENERAL CONFERENCE Muhtasari wa mipango mikubwa kabla ya mkutano mkuu wa 2019 Mipango Mbele ya Mkutano Mkuu Chati hii ina leta kwa kifupi mawazo katika Ripoti ya Njia ya Mbele ku Mkutano Mkuu wa 2019. Kwa kujuwa zaidi, soma ripoti yote inayopatikana katika http://www.umc.org/topics/generalconference-2019-special-session.

More information

UHALISIA NA UHALISIAJABU KATIKA RIWAYA MPYA: BABU ALIPOFUFUKA (SAID AHMED MOHAMED) NA WATU WA GEHENNA (TOM OLALI ) MWANGI JEDIDAH WANJIRU

UHALISIA NA UHALISIAJABU KATIKA RIWAYA MPYA: BABU ALIPOFUFUKA (SAID AHMED MOHAMED) NA WATU WA GEHENNA (TOM OLALI ) MWANGI JEDIDAH WANJIRU UHALISIA NA UHALISIAJABU KATIKA RIWAYA MPYA: BABU ALIPOFUFUKA (SAID AHMED MOHAMED) NA WATU WA GEHENNA (TOM OLALI ) NA MWANGI JEDIDAH WANJIRU TASNIFU HII IMETOLEWA ILI KUTOSHELEZA BAADHI YA MAHITAJI YA

More information

SPECIAL BILL SUPPLEMENT

SPECIAL BILL SUPPLEMENT ISSN 0856 01001X THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA SPECIAL BILL SUPPLEMENT No. 5 3rd September, 2017 to the Special Gazette of the United Republic of Tanzania No. 5 Vol. 98 dated 3 rd September, 2017 Printed

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS MALAVA CONSTITUENCY AT FRIENDS CHURCH, KIVANYWA, MATETE 2 ON FRIDAY, 2 ND AUGUST 2002 CONSTITUENCY PUBLIC

More information

BARAZA LA MAHUSIANO YA DINI MBALIMBALI KWA AMANI TANZANIA (IRCPT)

BARAZA LA MAHUSIANO YA DINI MBALIMBALI KWA AMANI TANZANIA (IRCPT) BARAZA LA MAHUSIANO YA DINI MBALIMBALI KWA AMANI TANZANIA (IRCPT) MAPENDEKEZO YA WAWAKILISHI WA VIONGOZI WA DINI MBALIMBALI KWA WAJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUHUSU MWENENDO WA BUNGE MAALUM PAMOJA

More information

THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENT) (NO.2) ACT, 2016 ARRANGEMENT OF SECTIONS PART I PRELIMINARY PROVISIONS

THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENT) (NO.2) ACT, 2016 ARRANGEMENT OF SECTIONS PART I PRELIMINARY PROVISIONS THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA ISSN 0856-035X BILL SUPPLEMENT No.7 20 th May, 2016 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No.21. Vol.97 dated 20 th May, 2016 Printed by the Government Printer,

More information

Uzazi Wema: Kuweka Watoto Kwanza Mawaida Ya Uzazi. jamii inaweza kuendelea na hali ya kuvunja ndoa ama mume na mke kuwachana.

Uzazi Wema: Kuweka Watoto Kwanza Mawaida Ya Uzazi. jamii inaweza kuendelea na hali ya kuvunja ndoa ama mume na mke kuwachana. Kiswahili Uzazi Wema: Kuweka Watoto Kwanza Mawaida Ya Uzazi Uamuaji Wa Kutumia Maelezo wa kutumia: n Hii chombo imetengenezwa kutumika na wafanyi kazi wa kusaidia jamii na kuhakikisha jamii inaweza kuendelea

More information

Wic News. The monthly Bulletin of the Women s Information Centre. March 2004 FROM WIC S MANAGEMENT

Wic News. The monthly Bulletin of the Women s Information Centre. March 2004 FROM WIC S MANAGEMENT Wic News WOMEN S INFORMATION CENTRE WOMEN S INFORMATION CENTRE From WIC s Management 1 Issues - Wives of Diplomatic Corps in Tanzania Help Orphan Children -WIC participates at IWD Exhibitions The Ministry

More information

IN THE HIGH COURT OF TANZANIA (DAR ES SALAAM MAIN REGISTRY) AT DAR ES SALAAM MISC. CIVIL CAUSE NO. 10 OF 2005 MANENTO J.K, MASSATI J, MIHAYO J.

IN THE HIGH COURT OF TANZANIA (DAR ES SALAAM MAIN REGISTRY) AT DAR ES SALAAM MISC. CIVIL CAUSE NO. 10 OF 2005 MANENTO J.K, MASSATI J, MIHAYO J. IN THE HIGH COURT OF TANZANIA (DAR ES SALAAM MAIN REGISTRY) AT DAR ES SALAAM MISC. CIVIL CAUSE NO. 10 OF 2005 MANENTO J.K, MASSATI J, MIHAYO J.: CHRISTOPHER MTIKILA VERSUS THE ATTORENY GENERAL PETITIONER

More information

COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI

COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI January 13, 2015 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD SPECIAL SITTING Tuesday, 13 th January, 2015 The House met at the Temporary Chambers at the defunct Malindi Municipal Council,

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Monday, 16 th April, 2018

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD. Monday, 16 th April, 2018 April 16, 2018 COUNTY ASSEMBLY DEBATES 1 REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF KILIFI THE HANSARD Monday, 16 th April, 2018 The House met at the County Assembly Chamber, Malindi Town, at 2:30 p.m. [The

More information

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA ISSN 0856-034X BILL SUPPLEMENT No.2 8 th June, 2018 to the Gazette of the United Republic of Tanzania No.23. Vol.99 dated 8 th June, 2018 Printed by the Government Printer,

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report Of

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report Of CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report Of DISSEMINATION OF REPORT AND DRAFT BILL, LAIKIPIA WEST CONSTITUENCY, HELD AT NYAHURURU CATHOLIC HALL ON 2 14 TH OCTOBER 2002 By Lillian

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, EMGWEN CONSTITUENCY HELD AT MOGOON COMMUNITY HALL

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, EMGWEN CONSTITUENCY HELD AT MOGOON COMMUNITY HALL CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, EMGWEN CONSTITUENCY HELD AT MOGOON COMMUNITY HALL ON 2 JULY, 3 RD 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, EMGWEN

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MATUNGU CONSTITUENCY, AT ST. JAMES BULIMBO SEC.

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MATUNGU CONSTITUENCY, AT ST. JAMES BULIMBO SEC. CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MATUNGU CONSTITUENCY, AT ST. JAMES BULIMBO SEC. SCHOOL 2 TUESDAY, AUGUST 6 TH, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS,

More information

March 15, 2017 County Assembly Debates 1 COUNTY GOVERNMENT OF LAMU THE COUNTY ASSEMBLY OF LAMU THE HANSARD. Thursday, 15 th March 2018

March 15, 2017 County Assembly Debates 1 COUNTY GOVERNMENT OF LAMU THE COUNTY ASSEMBLY OF LAMU THE HANSARD. Thursday, 15 th March 2018 March 15, 2017 County Assembly Debates 1 COUNTY GOVERNMENT OF LAMU THE COUNTY ASSEMBLY OF LAMU THE HANSARD Thursday, 15 th March 2018 The Assembly met at the Main Chambers, at 2:30PM [The Speaker (Hon.

More information

UJENZI WA JAMII ISIYOKUWA NA MAUAJI: MSINGI WA ELIMU MPYA YA SIASA

UJENZI WA JAMII ISIYOKUWA NA MAUAJI: MSINGI WA ELIMU MPYA YA SIASA UJENZI WA JAMII ISIYOKUWA NA MAUAJI: MSINGI WA ELIMU MPYA YA SIASA GLENN D. PAIGE Utangulizi wa James A. Robinson YALIYOMO DIBAJI LA TOLEO LA KISWAHILI... SHUKRANI.... DIBAJI LA TOLEO LA KIFARANSA....

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS MT. ELGON CONSTITUENCY AT KAPSOKWONY HIGH SCHOOL

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS MT. ELGON CONSTITUENCY AT KAPSOKWONY HIGH SCHOOL CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS MT. ELGON CONSTITUENCY AT KAPSOKWONY HIGH SCHOOL ON 29 JULY, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS MT. ELGON CONSTITUENCY

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPPORT OF CONSTITUTUENCY PUBLIC HEARINGS, NAMBALE CONSTITUENCY, HELD AT NAMBALE ACK HALL

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPPORT OF CONSTITUTUENCY PUBLIC HEARINGS, NAMBALE CONSTITUENCY, HELD AT NAMBALE ACK HALL CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPPORT OF CONSTITUTUENCY PUBLIC HEARINGS, NAMBALE CONSTITUENCY, HELD AT NAMBALE ACK HALL ON 31 ST JULY 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS NAMBALE

More information

Sirpa Tapaninen. Internal Review of. Kepa s Liaison services in. Tanzania

Sirpa Tapaninen. Internal Review of. Kepa s Liaison services in. Tanzania Sirpa Tapaninen Internal Review of Kepa s Liaison services in Tanzania INTERNAL REVIEW OF KEPA S LIAISON SERVICES IN TANZANIA Sirpa Tapaninen Kepa s reports 37 / 2000 Kepa s activities are financially

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 (CKRC) 38 39 VERBATIM REPORT OF 40 41 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MALAVA CONSTITUENCY, HELD AT SHAMONI

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report of CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KITUI SOUTH CONSTITUENCY, AT MUTHA A.I.C.

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report of CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KITUI SOUTH CONSTITUENCY, AT MUTHA A.I.C. CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report of CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KITUI SOUTH CONSTITUENCY, AT MUTHA A.I.C. CHURCH ON 2 20 MAY 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KITUI SOUTH

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, RIFT VALLEY PROVINCE, MOSOP CONSTITUENCY, LABORET HIGH SCHOOL ON 28 TH JUNE 2002 2 RECORD OF THE PROCEEDINGS

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report Of

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report Of CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) Verbatim Report Of DISSEMINATION OF REPORT AND DRAFT BILL, KIHARU CONSTITUENCY, HELD AT MURANG A COUNTY HALL. ON 16 TH OCTOBER 2002 2 Final copy DISSEMINATION

More information

Wednesday, 24th April,2013 Morning Session MOTIONS Speaker: We have one motion from the Leader of Majority party. Hon. Kimondo, you look like you are

Wednesday, 24th April,2013 Morning Session MOTIONS Speaker: We have one motion from the Leader of Majority party. Hon. Kimondo, you look like you are Wednesday, 24th April,2013 Morning Session S Speaker: We have one motion from the Leader of Majority party. Hon. Kimondo, you look like you are the leader for majority today. Hon. Kimondo: Mr. Speaker

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MUMIAS CONSTITUENCY LUBINU SECONDARY SCHOOL

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MUMIAS CONSTITUENCY LUBINU SECONDARY SCHOOL CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MUMIAS CONSTITUENCY LUBINU SECONDARY SCHOOL ON 2 31 ST JULY 2002 RECORDS OF THE PROCEEDINGS, CONSTITUTION

More information

TERRAVIVA RADIO..! The independent newspaper of the VII World Social Forum, Jan 20-25, Nairobi, Kenya JANUARY 24, 2007

TERRAVIVA RADIO..! The independent newspaper of the VII World Social Forum, Jan 20-25, Nairobi, Kenya JANUARY 24, 2007 TERRAVIVA RADIO..! WWW.WSF.AMARC.ORG www.ipsterraviva.net JANUARY 24, 2007 3 The independent newspaper of the VII World Social Forum, Jan 20-25, Nairobi, Kenya PAULINO MENEZES It was no ordinary day at

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF 2 CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF 3 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS KITUI WEST CONSTITUENCY, HELD AT A.I.C. CHURCH HALL KABATI ON 4 21 MAY 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS,

More information

THE FIFTH CONSTITUTIONAL AMENDMENT ACT NO.2 OF 1992 ARRANGEMENT OF SECTIONS

THE FIFTH CONSTITUTIONAL AMENDMENT ACT NO.2 OF 1992 ARRANGEMENT OF SECTIONS THE FIFTH CONSTITUTIONAL AMENDMENT ACT NO.2 OF 1992 ARRANGEMENT OF SECTIONS SECTION TITLE 1. Short title and Commencement. 2. Interpretation. 3. Heading of Chapter I. 4. section 2. 5. Repeal and replacement

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MACHAKOS CONSTITUENCY HELD AT MUUMA ANDU AIC 2 ON 14 TH MAY, 2002 3 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MACHAKOS

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, BUMULA CONSTITUENCY, HELD AT KIMAITI SECONDARY SCHOOL

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, BUMULA CONSTITUENCY, HELD AT KIMAITI SECONDARY SCHOOL CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, BUMULA CONSTITUENCY, HELD AT KIMAITI SECONDARY SCHOOL ON 6 TH AUGUST 2002 CONSTITUECY PUBLIC HEARINGS, BUMULA

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KEIYO SOUTH CONSTITUENCY HELD AT FLUORSPAR JUNIOR CANTEEN

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KEIYO SOUTH CONSTITUENCY HELD AT FLUORSPAR JUNIOR CANTEEN CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISION CKRC VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KEIYO SOUTH CONSTITUENCY HELD AT FLUORSPAR JUNIOR CANTEEN ON 2 4 TH JULY 2002 CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION

More information

~II~ ~ ~ III~II - A B 6 C. Oate Printed: 02/05/2009. JTS Box Number: 1FES 49. Tab Number: 49. Document Title: Document Date: 1992 TAN

~II~ ~ ~ III~II - A B 6 C. Oate Printed: 02/05/2009. JTS Box Number: 1FES 49. Tab Number: 49. Document Title: Document Date: 1992 TAN Oate Printed: 02/05/2009 JTS Box Number: 1FES 49 Tab Number: 49 Document Title: AN ACT TO AMEND THE ELECTIONS ACT Document Date: 1992 Document Country: Document Language: 1FES 10: TAN ENG EL00731 ~II~

More information

COUNTY ASSEMBLY OF LAMU

COUNTY ASSEMBLY OF LAMU 11/8/2017 10:01:00 AM COUNTY ASSEMBLY OF LAMU STANDING ORDERS As Adopted by the County Assembly of Lamu on September 2015 PRAYER Almighty God, who in Your wisdom and goodness have appointed the offices

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, STAREHE CONSTITUENCY, HELD AT KARIOKOR SOCIAL HALL

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, STAREHE CONSTITUENCY, HELD AT KARIOKOR SOCIAL HALL CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, STAREHE CONSTITUENCY, HELD AT KARIOKOR SOCIAL HALL ON 2 29 TH May 2002 CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) Verbatim Report of

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) Verbatim Report of CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) NATIONAL CONSTITUTIONAL CONFERENCE (NCC) Verbatim Report of THE PLENARY PROCEEDINGS HELD AT THE PLENARY HALL, BOMAS OF KENYA. ON 23.03.2004 Page 1 of 28 CONSTITUTION

More information

July 19, 2016 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Tuesday, 19 th July, The House met at 2.30 p.m.

July 19, 2016 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Tuesday, 19 th July, The House met at 2.30 p.m. July 19, 2016 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT Tuesday, 19 th July, 2016 The House met at 2.30 p.m. [The Deputy Speaker (Hon. (Dr.) Laboso in the Chair] PRAYERS MESSAGES PASSAGE

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, MAKUENI CONSTITUENCY, HELD AT MATILIKU CATHOLIC CHURCH. ON 2 MAY 15 TH, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS,

More information

Tools of Deception: Media Coverage of Student Protests in Tanzania DEO NGONYANI Michigan State University, USA

Tools of Deception: Media Coverage of Student Protests in Tanzania DEO NGONYANI Michigan State University, USA Nordic Journal of African Studies 9(2): 22-48 (2000) Tools of Deception: Media Coverage of Student Protests in Tanzania DEO NGONYANI Michigan State University, USA INTRODUCTION It is widely recognized

More information

September 14, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Thursday, 14 th September The House met at 9.30 a.m.

September 14, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Thursday, 14 th September The House met at 9.30 a.m. September 14, 2017 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT Thursday, 14 th September 2017 The House met at 9.30 a.m. [The Deputy Speaker (Hon. Cheboi) in the Chair] PRAYERS QUORUM Hon.

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CRKC) VERBATIM REPORT OF

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CRKC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CRKC) VERBATIM REPORT OF 2 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KIPIPIRI CONSTITUENCY HELD AT MIHARATI MITI MINGI HALL FRIDAY 19 TH APRIL, 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARING,

More information

PASSPORT REPLACEMENT MARRIED/DIVORCED/WIDOWED WOMEN Document Checklist and Application Forms

PASSPORT REPLACEMENT MARRIED/DIVORCED/WIDOWED WOMEN Document Checklist and Application Forms Telephone: (030) 25 92 66 0 Fax: (030) 25 92 66 50 Email: immigration@kenyaembassyberlin.de Website: www.kenyaembassyberlin.de EMBASSY OF THE REPUBLIC OF KENYA Markgrafenstr. 63 10969 Berlin Germany PASSPORT

More information

YA BASTA TEN YEARS OF THE ZAPATISTA UPRISING E-PUB

YA BASTA TEN YEARS OF THE ZAPATISTA UPRISING E-PUB 23 April, 2018 YA BASTA TEN YEARS OF THE ZAPATISTA UPRISING E-PUB Document Filetype: PDF 301.12 KB 0 YA BASTA TEN YEARS OF THE ZAPATISTA UPRISING E-PUB Writings of Subcommandante Insurgente Marcos: 10

More information

RECORDINGS OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS OF AMAGORO. Com. Pastor Zablon Ayonga Com. Dr. Abdirizak Nunow in the Chair Com.

RECORDINGS OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS OF AMAGORO. Com. Pastor Zablon Ayonga Com. Dr. Abdirizak Nunow in the Chair Com. RECORDINGS OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS OF AMAGORO CONSTITUENCY HELD AT AMAKURA SOCIAL HALL ON 5 TH AUGUST 2002 PRESENT Com. Pastor Zablon Ayonga Com. Dr. Abdirizak Nunow in the Chair Com. Mutakha Kangu

More information

Does The New National Youth Development Policy Reflect Youth Demands?

Does The New National Youth Development Policy Reflect Youth Demands? Does The New National Youth Development Policy Reflect Youth Demands? By Chambi Chachage 1 The people know their needs ask them! Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Introduction On 17 March 2008 the Minister

More information

COUNTY ASSEMBLY OF NAKURU

COUNTY ASSEMBLY OF NAKURU THE HANSARD Wednesday, 22 nd February, 2017 Assembly Building The House met at 3.00pm [The Speaker (Hon. Susan Kihika) in the Chair] PRAYERS COMMUNICATION FROM THE CHAIR -DEVOLUTION CONFERENCE 2017 -NATIONAL

More information

GERMANY ORDINARY REPLACEMENT

GERMANY ORDINARY REPLACEMENT Telephone: +49(30) 25 92 66 0 Embassy of the Republic Fax: +49(30) 25 92 66 50 of Kenya Email: immigration@kenyaembassyberlin.de Markgrafenstr. 63 Website: www.kenyaembassyberlin.de 10969 Berlin GERMANY

More information

United States History & Government. Glossary. High School Level. English / Swahili

United States History & Government. Glossary. High School Level. English / Swahili High School Level Glossary United States History & Government Glossary English / Swahili Translation of United States History & Government terms based on the Coursework for United States History & Government

More information

2

2 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 27 28 29 30 31 32 33 34 35 36 37 (CKRC) 38 39 VERBATIM REPORT OF 40 41 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, SAKU CONSTITUENCY, HELD AT MARSABIT

More information

Understanding Patterns of Accountability in Tanzania

Understanding Patterns of Accountability in Tanzania Understanding Patterns of Accountability in Tanzania Component 2: The bottom-up perspective Final Report June 2005 Tim Kelsall, Siri Lange, Simeon Mesaki and Max Mmuya With Jehova Roy Kaaya Zephania Kambele

More information

The lingering question of Neocolonialism in selected Swahili Plays

The lingering question of Neocolonialism in selected Swahili Plays International Journal of Liberal Arts and Social Science ISSN: 2307-924X www.ijlass.org The lingering question of Neocolonialism in selected Swahili Plays Dr. Evans M.Mbuthia 1 and Mr. Silas Thuranira

More information

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF ISIOLO OFFICIAL REPORT

REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF ISIOLO OFFICIAL REPORT REPUBLIC OF KENYA COUNTY ASSEMBLY OF ISIOLO OFFICIAL REPORT Thursday, 1 st March, 2018 Assembly Building The House met at 2.30pm The Deputy Speaker (Hon. Lemantile) in the chair PRAYERS MOTION ESTABLISHMENT

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, TINDERET CONSTITUENCY, HELD AT NANDI HILLS TOWN HALL

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, TINDERET CONSTITUENCY, HELD AT NANDI HILLS TOWN HALL CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, TINDERET CONSTITUENCY, HELD AT NANDI HILLS TOWN HALL 2 ON 16 TH JULY 2002 CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, TINDERET

More information

May 14, 2015 SENATE DEBATES 1 PARLIAMENT OF KENYA THE SENATE THE HANSARD. Thursday, 14 th May, 2015

May 14, 2015 SENATE DEBATES 1 PARLIAMENT OF KENYA THE SENATE THE HANSARD. Thursday, 14 th May, 2015 May 14, 2015 SENATE DEBATES 1 PARLIAMENT OF KENYA THE SENATE THE HANSARD Thursday, 14 th May, 2015 The House met at the Senate Chamber, Parliament Buildings, at 2.30 p.m. [The Speaker (Hon. Ethuro) in

More information

Social Studies. Glossary. Intermediate School Level. English / Swahili

Social Studies. Glossary. Intermediate School Level. English / Swahili Intermediate School Level Glossary Social Studies Glossary English / Swahili Translation of Social Studies terms based on the Coursework for Social Studies Grades 6 to 8. Word-for-word glossaries are used

More information

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC)

CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) CONSTITUTION OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, LARI CONSTIUENCY, HELD AT KIMENDE ACK CHURCH 2 ON 24 TH APRIL 2002 ONSTITUENCY PUBLIC HEARING LARI CONSTITUENCY,

More information

CONSTITUTIONAL OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KAITI CONSTITUENCY, HELD AT A.I.C.

CONSTITUTIONAL OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KAITI CONSTITUENCY, HELD AT A.I.C. CONSTITUTIONAL OF KENYA REVIEW COMMISSION (CKRC) VERBATIM REPORT OF CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS, KAITI CONSTITUENCY, HELD AT A.I.C. CHURCH KILUNGU ON 20 TH MAY 2002 2 KAITI CONSTITUENCY PUBLIC HEARINGS,

More information

SEMESTER 2 SUPPLEMENTARY/SPECIAL EXAMINATION TIMETABLE: SEPTEMBER 2014: FINAL DRAFT

SEMESTER 2 SUPPLEMENTARY/SPECIAL EXAMINATION TIMETABLE: SEPTEMBER 2014: FINAL DRAFT SEMESTER 2 SUPPLEMENTARY/SPECIAL EXAMINATION TIMETABLE: 15 20 SEPTEMBER 2014: FINAL DRAFT TIME COURSE CODE SUBJECT TITLE VENUE No.S Monday 15/09/2014 08.00-11.00 BAED3 EA 302 Management and School Administration

More information

Social Contract Theory of John Locke ( ) in the Contemporary World

Social Contract Theory of John Locke ( ) in the Contemporary World Saint Augustine University of Tanzania From the SelectedWorks of Daudi Mwita Nyamaka Mr. Summer June 10, 2011 Social Contract Theory of John Locke (1932-1704) in the Contemporary World Daudi Mwita Nyamaka,

More information

GOVERNMENT NOTICE NO.. published on THE COPYRIGHT AND NEIGHBOURING RIGHTS ACT, 1999 (NO. 7 OF 1999) REGULATIONS. Made under Section 45

GOVERNMENT NOTICE NO.. published on THE COPYRIGHT AND NEIGHBOURING RIGHTS ACT, 1999 (NO. 7 OF 1999) REGULATIONS. Made under Section 45 GOVERNMENT NOTICE NO.. published on THE COPYRIGHT AND NEIGHBOURING RIGHTS ACT, 1999 (NO. 7 OF 1999) REGULATIONS Made under Section 45 THE COPYRIGHT AND NEIGHBOURING RIGHTS (REGISTRATION OF MEMBERS AND

More information

(CORAM: LUBUVA, J.A., RUTAKANGWA, J.A., And KIMARO, J.A.)

(CORAM: LUBUVA, J.A., RUTAKANGWA, J.A., And KIMARO, J.A.) IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT ARUSHA (CORAM: LUBUVA, J.A., RUTAKANGWA, J.A., And KIMARO, J.A.) CIVIL APPEAL NO. 3 OF 2000 1. EVARIST PETER KIMATHI.. APPELLANTS 2. MRS. BERTHA EVARIST KIMATHI VERSUS

More information

November 24, 2016 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Thursday, 24 th November, The House met at 2.30 p.m.

November 24, 2016 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Thursday, 24 th November, The House met at 2.30 p.m. November 24, 2016 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT Thursday, 24 th November, 2016 The House met at 2.30 p.m. [The Deputy Speaker (Hon. (Dr.) Laboso)in the Chair] PRAYERS QUORUM

More information

Donatila Exaveri. Perekimas Twamgambo 1. Ruling

Donatila Exaveri. Perekimas Twamgambo 1. Ruling Donatila Exaveri v. Perekimas Twamgambo 1 Ruling Nchalla, J. This is an ex-parte application under Section 390 (1) (6) of the Criminal Procedure Act, 1985 2 and Rule 2 of the Habeas Corpus Rules, 3 and

More information

RESPONDE NT (Appeal from the judgement of the High Court of Tanzania (Dodoma Registry) at Singida) Mwarija, J. Criminal Sessions case No. 126 of 2003.

RESPONDE NT (Appeal from the judgement of the High Court of Tanzania (Dodoma Registry) at Singida) Mwarija, J. Criminal Sessions case No. 126 of 2003. THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT DODOMA (CORAM: MSOFFE, JA. RUTAKANGWA J.A BWANA, J.A) CRIMINAL APPEAL NO. 147 OF 2008 1. MATHAYO MWALIMU 2. MASAI RENGWA APPELLANT S 3. VERSUS 4. THE REPUBLIC RESPONDE

More information

Dialogue Drama in Kenyan Political Speeches and its Pragmatic Implications John Hamu HABWE University of Nairobi, Kenya

Dialogue Drama in Kenyan Political Speeches and its Pragmatic Implications John Hamu HABWE University of Nairobi, Kenya Nordic Journal of African Studies 19(3): 165 180 (2010) Dialogue Drama in Kenyan Political Speeches and its Pragmatic Implications John Hamu HABWE University of Nairobi, Kenya ABSTRACT Political speech

More information

Ghent University Faculty of Arts and Philosophy Academic year 2015/2016

Ghent University Faculty of Arts and Philosophy Academic year 2015/2016 Ghent University Faculty of Arts and Philosophy Academic year 2015/2016 Ethnicity, Voting and the Promises of the Independence Movement in Tanzania: The Case of the 2010 General Elections in Mwanza Mrisho

More information

IN THE HIGH COURT OF TANZANIA HIGH COURT LABOUR DIVISION AT SHINYANGA LABOUR REVISION NO. 12 OF 2

IN THE HIGH COURT OF TANZANIA HIGH COURT LABOUR DIVISION AT SHINYANGA LABOUR REVISION NO. 12 OF 2 IN THE HIGH COURT OF TANZANIA HIGH COURT LABOUR DIVISION AT SHINYANGA LABOUR REVISION NO. 12 OF 2 NICODEMU G. MWITA.... VERSUS BUL YANHULU GOLD MINE L TD... ~'~ 1... {Original CMA/5 19/8/2013 & 15/1/2013

More information

February 28, 2017 SENATE DEBATES 1 PARLIAMENT OF KENYA THE SENATE THE HANSARD. Tuesday, 28 th February, 2017

February 28, 2017 SENATE DEBATES 1 PARLIAMENT OF KENYA THE SENATE THE HANSARD. Tuesday, 28 th February, 2017 February 28, 2017 SENATE DEBATES 1 PARLIAMENT OF KENYA THE SENATE THE HANSARD Tuesday, 28 th February, 2017 The House met at the Senate Chamber, Parliament Buildings, at 2.30 p.m. [The Speaker (Hon. Ethuro)

More information

CONFERENCE ON ARGUMENTATION, RHETORIC, DEBATE, AND THE PEDAGOGY OF EMPOWERMENT

CONFERENCE ON ARGUMENTATION, RHETORIC, DEBATE, AND THE PEDAGOGY OF EMPOWERMENT 4TH INTERNATIONAL CONFERENCE ON ARGUMENTATION, RHETORIC, DEBATE, AND THE PEDAGOGY OF EMPOWERMENT BECAUSE WE ONCE LIVED THERE: MAASAI CULTURE AS AN ARGUMENTATIVE RESOURCE IN THE SERENGETI ALLISON HAHN University

More information

JUDGMENT OF THE COURT

JUDGMENT OF THE COURT AT OAR ES SALAAM CORAM: MANENTO, JK., MLAY, J., AND MIHAYO, J. MISC. CIVIL CAUSE NO. 117 OF 2004 JACKSON S/O OLE NEMETENI @ } OLE SAIBUL @ MOOSI @ MJOMBA... PETITIONERS MJOMBA AND 19 OTHERS Date of last

More information

Mohamed Koriow Nur v Attorney General [2011] eklr REPUBLIC OF KENYA IN THE HIGH COURT OF KENYA AT NAIROBI (NAIROBI LAW COURTS) PETITION NO.

Mohamed Koriow Nur v Attorney General [2011] eklr REPUBLIC OF KENYA IN THE HIGH COURT OF KENYA AT NAIROBI (NAIROBI LAW COURTS) PETITION NO. REPUBLIC OF KENYA IN THE HIGH COURT OF KENYA AT NAIROBI (NAIROBI LAW COURTS) PETITION NO.181 OF 2010 IN THE MATTER OF SECTION 84(1) OF HE CONSTITUTION OF KENYA AND IN THE MATTER OF THE ALLEGED CONTRAVENTION

More information

November 7, 2018 SENATE DEBATES 1 PARLIAMENT OF KENYA THE SENATE THE HANSARD. Wednesday, 7 th November, 2018

November 7, 2018 SENATE DEBATES 1 PARLIAMENT OF KENYA THE SENATE THE HANSARD. Wednesday, 7 th November, 2018 November 7, 2018 SENATE DEBATES 1 PARLIAMENT OF KENYA THE SENATE THE HANSARD Wednesday, 7 th November, 2018 The House met at the Senate Chamber, Parliament Buildings, at 2.30 p.m. [The Speaker (Hon. Lusaka)

More information

Combating Corruption in Tanzania: Perception and Experience

Combating Corruption in Tanzania: Perception and Experience Afrobarometer Briefing Paper No. 33 April 26 Combating Corruption in Tanzania: Perception and Experience The Government of Tanzania has been battling against corruption since the early days of independence,

More information

MROSO, J.A., NSEKELA, J.A. And RUTAKANGWA, J.A.) FRANCISCA MBAKILEKI... APPLICANT VERSUS TANZANIA HARBOURS CORPORATION RESPONDENT

MROSO, J.A., NSEKELA, J.A. And RUTAKANGWA, J.A.) FRANCISCA MBAKILEKI... APPLICANT VERSUS TANZANIA HARBOURS CORPORATION RESPONDENT IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT DAR ES SALAAM (CORAM: MROSO, J.A., NSEKELA, J.A. And RUTAKANGWA, J.A.) CIVIL REFERENCE NO. 14 OF 2004 FRANCISCA MBAKILEKI. APPLICANT VERSUS TANZANIA HARBOURS CORPORATION

More information

Wimbo wa taifa. National Anthem

Wimbo wa taifa. National Anthem National Anthem Oh God of all creations Bless this land and nation Justice be our shield and defender May we dwell in unity peace and liberty Plenty be found within our borders Wimbo wa taifa Ee Mungu

More information